Agricultural Land

Shamba la acre 6 - Mkuranga (Mwanambaya)

Mkuranga, Mwanambaya
Shamba la acre 6 - Mkuranga (Mwanambaya) - image 1

About this property

Eneo kubwa lenye ukubwa wa hekari 6 lipo Mkuranga, kata ya Siloweko kijiji cha Mwanambaya, umbali wa mita 800 kutoka barabara ya lami.

Eneo linafaa kwa shughuli za kilimo, ufugaji, au uwekezaji wa viwanda vidogo. Mazingira ni tulivu na yanafikika kirahisi kwa gari mwaka mzima.

Features

160000.00 m² Area
Eneo Kubwa
Mita 800 kutoka lami
Fikika mwaka mzima

Amenities

Maji
Umeme
Barabara nzuri
Usalama wa eneo

Price

Contact for Price

Contact Agent via WhatsApp